Aug 14, 2009
WEEK-END NJEMA WADAU
Aug 12, 2009
KONGAMANO LA WANA BLOGU

Je wewe ni mwanablogu (Blogger) au mdau wa habari na mawasiliano kwa umma kwa kutumia mtandao? Kama jibu ni ndio, tafadhali unaombwa kujiorodhesha kwa ajili ya maandalizi ya Kongamano Maalumu la Kitaifa kwa ajili Wanablogu (Bloggers) na wadau wa habari na mawasiliano wa Tanzania (Tanzanians Bloggers Summit) linalotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu jijini Dar-es-salaam,Tanzania.
Dhumuni la kongamano hili ni Kuelimishana, Kufahamiana, Kuamsha Utambuzi Rasmi Kuhusu Tekinolojia ya Blogu na Mawasiliano ya Umma kwa Kutumia Mitandao, Kusaidia Utambuzi Rasmi juu ya mchango wa blogu nchini Tanzania kama chombo muhimu cha habari na mawasiliano, Kuelimishana jinsi gani blogu zinaweza kutumika katika kuleta maendeleo katika nyanja za kijamii, kisiasa na kiuchumi, kuburudisha, kukuza utamaduni nk.
Wataalamu mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wataalikwa kutoa mada na mafunzo mbalimbali kuhusiana na tekinolojia ya kublogu, zana nyinginezo za mawasiliano mtandaoni kama vile mitandao jamii(social networking), online forums nk.Kutakuwa na vipindi vya maswali na majibu.
Ili kufanikisha maandalizi ya Kongamano hili la kihistoria, kujiorodhesha kwako ni muhimu sana. Muda wa kujiodhoresha ni kuanzia tarehe 12/8/2009 (Jumatano) mpaka 12/9/2009 (Jumamosi) tu.
Kinachohitajika ili kujiandikisha ni :
Jina Lako, Anuani yako ya barua pepe (E-mail), Mahali Ulipo au unapoishi (Nchi,mji nk),Namba ya Simu (sio lazima) na Anuani au URL(Universal Resource Locator) ya blogu yako (mfano www.kongamano.blogspot.com/wordpress.com/.com/typepad nk). Vyeti vya Ushiriki vitatolewa kulingana na habari utakazoziorodhesha hapa. Unaweza kujiorodhesha kwa kutuma ombi lako kwa barua pepe kwenda; summit@bongocelebrity.com.
Zingatia tarehe za kujiandikisha.
Ni mwezi mmoja tu!
Asante kwa ushirikiano.
UMOJA NI NGUVU!
WOMAN 2 WOMAN
Woman to woman is a brand new show on ailtv.com (Africans In London TV dot com) presented and hosted by me Jestina George. It is a programe that explores issues concerning us African women who live and work here in London and the UK as a whole.
In this show I will be talking to Celebrities, Fashion Designers, Film Directors, Film Makers, Actors & Actresses, Musicians, Politicians, and other Professionals in different expertise and not forgetting people like u out there.
If u have anything inspirational that u would like to share with us and our viewers please do not hesitate to contact us on wwomantowoman@gmail.com and we will get back to you.
To watch WOMAN TO WOMAN log on to ailtv.com click on PROGRAMS, click watch TV and once your on the page click on the POP CULTURE CHANNEL then click on POP CULTURE ON DEMAND and there u will see WOMAN TO WOMAN just click on it and click watch now at the bottom.
If you experience any problems getting access please email our technical team on josephadamson62@yahoo.com or info@ailtv.com so we can help you watch AILTV.COM effectively.
Thank you and welcome.
SHUKURANI-(THANX)
Ts TK again napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru sana coz alitumia muda wake kunifundisha plus kunishauri what 2 do when u blog plus matatizo madogo madogo yanayojitokezaga....hata hilo jina hapo juu limetoka kwake(me,myself and i) alinipa idea ya majina matatu lakini nikapendezwa nalo hili zaidi,girl thanx a lot and u rock.pia unaweza kumtembelea kwenye blog yake www.totalknockout.blogspot.com!!she looks gourgeous always jamani...wenye wivu poleni,kisses mamiiTANZANIA
Kilimanjaro - one of the world's seven summits and the highest point in Africa (19,340') - is instantly recognized by people all over the world. This almost perfectly shaped, snowcapped volcano rises sheer from the plains, and is one of Africa's most magnificent sights.
Tanzania was created from the merger of the former British colonies of Tanganyika and Zanzibar in 1964. More than twice the size of California, Tanzania is home to over 120 distinct ethnic groups (with nearly as many languages), and contains some of the most significant natural attractions in all of Africa. While Swahili is the official national language, English is used in universities as a medium of communication between different ethnic languages and dialects. Tanzani remains one of the poorest countries in the world; however, between 2000 and 2006 the nation experienced a phenomenal annual growth rate averaging 5.8%.BBC News: Country Profile: Tanzania
Vivutio kama hivi utavikuta Tanzania tuu,,alhamdulilah tumejaaliwa na vitu vingi..COME AND C BY URSELF!!!
Tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.........NAKUPENDA TANZANIA,More and more of meeeeeee....
KITANGOMA....
Aug 11, 2009
Vote for ILUMINATA JAMES WIZE....
Sexy her....looking fine girl
Ni huyo mwenye long sleeve nyeusi with a red skirt and top(muoneni jamani i guess ndo mzuri kupita wenzie)LOL
Ni miss anayeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss Universe ambayo mwaka huu yanafanyika visiwani Bahamas......unaweza kwenda kwenye link www.missuniverse.com and vote/rank her...Tanzania tunaweza!!!!
Hivyo basi tumwezeshe iluminata aweze kuitangaza nchi yetu vizuri.....go girl!!!
LIFE

LIFE, believe, is not a dream
So dark as sages say;
Oft a little morning rain
Foretells a pleasant day.
Sometimes there are clouds of gloom,
But these are transient all;
If the shower will make the roses bloom,
O why lament its fall ?
Rapidly, merrily,
Life's sunny hours flit by,
Gratefully, cheerily,
Enjoy them as they fly !
What though Death at times steps in
And calls our Best away ?
What though sorrow seems to win,
O'er hope, a heavy sway ?
Yet hope again elastic springs,
Unconquered, though she fell;
Still buoyant are her golden wings,
Still strong to bear us well.
Manfully, fearlessly,
The day of trial bear,
For gloriously, victoriously,
Can courage quell despair
Subscribe to:
Posts (Atom)


